Wapiga mbizi wazidi kutafuta wahanga wa ajali ya ndege ziwani Nakuru
Published on: November 04, 2017 09:05 (EAT)
Matumaini ya kupata miili ya waathiriwa watatu wa ajali ya helikopta iliyoanguka katika ziwa la Nakuru wiki mbili zilizopota yalifufuliwa hii leo baada ya nguo na stakabadhi za mwathiriwa mmoja kupatikana. Haya yanajiri huku mazishi ya waathiriwa wawili ambao miili yao ilipatikana yakifanyika huko Bondo na Baringo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment