Wasafiri wengi wakiwemo wanafunzi watatizika
Published on: January 03, 2018 08:09 (EAT)
Msongamano mkubwa wa abiria hasa wanafunzi umeshuhudiwa kwa siku ya pili mfululizo katika vituo vya mabasi ya uchukuzi wa umma huku nauli zikipandishwa mno kufuatia marufuku ya safari za usiku.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment