Washukiwa 6 wa ugaidi watiwa mbaroni Malindi
Published on: March 11, 2017 08:51 (EAT)
Washukiwa 6 wa ugaidi walikamatwa usiku wa jana katika operesheni iliyofanywa na maafisa wa wa kupambana na ugaidi ATPU katika eneo la shela mjini Malindi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment