Washukiwa 6 wa ugaidi watiwa mbaroni Malindi

Washukiwa 6 wa ugaidi walikamatwa usiku wa jana katika operesheni iliyofanywa na maafisa wa wa kupambana na ugaidi ATPU katika eneo la shela mjini Malindi.

Tags:

malindi ugaidi washukiwa wa ugaidi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories