Washukiwa 6 watoroka korokoroni Garissa
Published on: January 18, 2017 08:34 (EAT)
Polisi wameanzisha operesheni ya kuwasaka washukiwa 6 waliotoroka kutoka katika korokoro ya kituo cha polisi cha Garissa. Washukiwa hao 6 wanaosemekana ni majambazi walitoroka baada ya kuparamia ukuta usiku wa kuamkia leo.
Hassan Farah anayo ripoti kamili
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment