Washukiwa watatu wa ujambazi wauawa Kariobangi
Published on: January 09, 2018 08:21 (EAT)
Washukiwa watatu wa ujambazi wanaodaiwa kumpiga risasi na kumuua polisi wa idara ya kutoa ulinzi kwa mabalozi katika eneo la komarock mapema leo wameuawa na polisi katika eneo la kariobangi hapa jijini.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment