Washukiwa watatu wa ujambazi wauawa Kariobangi

Washukiwa watatu wa ujambazi wanaodaiwa kumpiga risasi na kumuua polisi wa idara ya kutoa ulinzi kwa mabalozi katika eneo la komarock mapema leo wameuawa na polisi katika eneo la kariobangi hapa jijini.

Tags:

Kariobangi Hessy wa Kayole kayole gangsters

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories