Wasichana 7 wanusurika ukeketaji Embu

 

Wanafunzi saba kutoka eneo la Mbeere kaunti ya Embu wameokolewa baada ya kunusurika kupashwa tohara wakiwa mafichoni. Ajuza mmoja aliyekuwa akitekeleza unyama huo alifanikiwa kuwakeketa wasichana watatu kabla kufumaniwa.

Tags:

embu ukeketaji

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories