Wasichana 7 wanusurika ukeketaji Embu
Published on: November 02, 2017 08:14 (EAT)
Wanafunzi saba kutoka eneo la Mbeere kaunti ya Embu wameokolewa baada ya kunusurika kupashwa tohara wakiwa mafichoni. Ajuza mmoja aliyekuwa akitekeleza unyama huo alifanikiwa kuwakeketa wasichana watatu kabla kufumaniwa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment