Wasichana 7 wanusurika ukeketaji Embu

 

Wanafunzi saba kutoka eneo la Mbeere kaunti ya Embu wameokolewa baada ya kunusurika kupashwa tohara wakiwa mafichoni. Ajuza mmoja aliyekuwa akitekeleza unyama huo alifanikiwa kuwakeketa wasichana watatu kabla kufumaniwa.

Tags:

embu ukeketaji

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories