Wasichana wafanya ukahaba walipwe kwa sodo
Published on: October 01, 2017 08:36 (EAT)
Baadhi ya wasichana kutoka kwa familia maskini huko Busia wanahangaika wakati wa hedhi, kwani kulingana nao wazazi wao wanatelekeza wakidai kwamba sio jukumu lao kununua taulo za sodo na sasa wamesalia kujiuza kwa vijana eneo hilo ili mradi tu wapate bidhaa hiyo ambayo kwao ni adimu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment