JSC yamteua Jaji David Maraga kuwa jaji mkuu

Anajitaja kama mtu mwenye imani dhabiti tena mpole. Lakini jaji david maraga kenani ni mwenye kutajika kwenye mishorobo ya mahakama kutokana na uzoefu wake katika masuala ya sheria kiasi cha maamuzi yake kutumiwa kama msingi aktika kesi zisizopungua sabini na kadhalika kuundwa kwa sheria kuhusu mali katika ndoa. Mwanahabari wetu faiza maganga anatupasha zaidi kuhusu wasifu wa jaji maraga.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories