Wasifu wa Nyenze na siasa zake
Published on: December 06, 2017 08:11 (EAT)
Mareheme Francis Nyenze Atakumbukwa na wengi kwa msimamo wake mkali wa kisiasa alipomtetea kinara wake wa Wiper Kalonzo Musyoka ateuliwe kuwa mgombea wa Urais Katika muungano wa NASA. Aidha aliwahi kumuunga mkono Uhuru Kenyatta wakati wa kampeni za uchaguzi wa mwaka huu, hali iliyomtia katika matatizo. Sam Gituku anamwangazia Mwanasiasa Francis Nyenze na siasa zake.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment