Wasifu wa Nyenze na siasa zake
Published on: December 06, 2017 08:11 (EAT)
Mareheme Francis Nyenze Atakumbukwa na wengi kwa msimamo wake mkali wa kisiasa alipomtetea kinara wake wa Wiper Kalonzo Musyoka ateuliwe kuwa mgombea wa Urais Katika muungano wa NASA. Aidha aliwahi kumuunga mkono Uhuru Kenyatta wakati wa kampeni za uchaguzi wa mwaka huu, hali iliyomtia katika matatizo. Sam Gituku anamwangazia Mwanasiasa Francis Nyenze na siasa zake.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment