Wasifu wa Willian Ole Ntimama
Published on: September 02, 2016 09:07 (EAT)
Naam basi….tuangazie wasifa wake William Ole Ntimama…kama mwanasiasa atayekumbukwa kwa jinsi alivyotetea haki za jamii yake na wakati mwingine kuzua hisia kali kwamba alikuwa anachochea jamii yake dhidi ya zingine….cha mno, Ntimama alitaka sana kuhifadhiwa kwa mazingira hasa msitu wa mau. Anne Mawathe na taarifa zaidi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment