Wasimamizi wapya wachukua uongozi wa hospitali ya St. Mary’s, Lang’ata
Published on: December 28, 2017 08:06 (EAT)
Vurugu ilizuka mapema leo katika hospitali ya St.Mary’s hapa jijini baada ya watawa wanaomiliki hospitali hiyo kuwafurusha wafanyakazi pamoja na wasimamizi wa hospitali hiyo. Na kama anavyotupasha Andrine Kilemi, mzozo huo umekua ukiendelea kwa miaka saba sasa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment