Wataalamu wachunguza gesi ya Kajiado
Published on: October 06, 2017 09:16 (EAT)
Wataalamu wa gesi kutoka kampuni ya Geothermal, hii leo walikita kambi katika kaunti ya Kajiado kwa uchunguzi wa gesi iliyogundulika hiyo jana katika kisima cha maji.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment