Watabiri wa hali ya anga wasema mvua itazidi kushuhudiwa
Published on: November 08, 2017 08:10 (EAT)
Siku za hivi karibuni, sehemu tofauti humu nchini zimekuwa zikipokea mvua nyingi kwa mfululizo na kwengine ikakizua maafa. Kulingana na kitengo kinachoshughulika na maswala ya hali ya anga, mvua hii inatarajiwa kuendelea kushuhudiwa kwa wingi hadi katikati ya mwezi Disemba.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment