Watahiniwa wa KCPE kufanyia mitihani hospitalini baada ya kujifungua

Watahiniwa wa KCPE kufanyia mitihani hospitalini baada ya kujifungua

Huku mitihani ya kitaifa ya KCPE ikiingia siku ya pili hii Leo wanafunzi wawili wa shule mbili wamelazimika kufanya mitihani huo hospitalini.

Mkurugenzi wa elimu katika kaunti ya Elgeyo Marakwet Joseph Wamocho amesema wanafunzi hawa wa shule ya msingi ya Bugar na Yemit walijifungua usiku wa kuamkia Leo.

Mkurugenzi huyo ameongeza kuwa mwanafunzi wa shule ya msingi ya Bugar anaendelea kufanya mitihani huo katika katika hospitali ya rufaa mjini Iten, huku wa shule ya Yemit akifanya mitihani huo kwenye hospitali ya mishenari ya Kapsowar.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories