Watahiniwa wajiandaa kwa mtihani wa KCSE kote nchini

Matayarisho ya mtihani wa shule za upili KCSE unaotarajiwa kuanza siku ya Jumatatu yamekamilika kote nchini. Wanafunzi na waalimu wa shule ya upili ya molo ni baadhi ya wanaojiandaa na wameonyesha ujasiri kwa mtihani ambao unatarajiwa kufanyika kwa wiki tatu.

Tags:

KCSE Fred Matiang'i

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories