Watatu Waliombaka Liz Wahukumiwa
Published on: April 13, 2015 06:22 (EAT)
Washukiwa watatu waliohusika katika kumnajisi msichana wa miaka 16 katika eneo leo Busia na kisha kupewa adhabu ya kufyeka katika kituo cha polisi sasa wamehukumiwa kifungo cha miaka 22 kila mmoja na mahakama ya Busia. Mwanahabari wetu Gatete Njoroge na taarifa kamili.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment