Wateja wa NHIF sasa hawatakuwa wakihitajika kuchagua hospitali

Wagonjwa wa huduma za nje sasa watapata matibabu bila kuhitajika kuchagua hopsitali. Hii ni kwa mujibu wa hazina ya kitaifa ya bima ya matibabu, NHIF, ambayo imezindua mpango unaolenga kupanua huduma za afya kwa wote humu nchini. Hata hivyo, anavyoripoti mwanahabari wetu Denis Otieno, mpango huu utatumika tu mara nne kwa kila mwanachama wa NHIF kila mwaka.

Tags:

NHIF

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories