Watoto 16 wapewa dawa za kupanga uzazi

Zaidi ya wichana 16 wenye umri kati ya miaka 13-16 katika eneo la saboti, kaunti ya Trans Nzoia wanakabiliwa na hatari ya kupata maradhi ya uzazi hii ni baada yao kudungiwa dawa za kupanga uzazi zitazodumu kwa miili yao kwa miaka mitano.Kama anavyoarifu mwanahabari wetu Collins Shitiabayi wazazi wa wasichana hao sasa wanaitaka serikali kuwachukulia hatua waliotekeleza unyama huo licha kuwasaidia kuondoa dawa hiyo kwa wasichana hao……

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories