Watoto 3 wa mwaniaji wa udiwani wapatikana wameuawa mtoni Nzoia

Watoto watatu wa mgombea wa kiti cha uwakilishi wa wadi ya Kapsoya kaunti ya Uasin Gishu James Ratemo, wamepatikana wameuawa. Wakati huo huo polisi wanachunguza kifo cha aliyekuwa mwakilishi wa wadi ya Churo Imaya, marehemu Thomas Minito ambaye mwili wake ulipatikana jana ndani ya mto Athi kaunti ya Machakos.

Tags:

Nzoia James Ratemo

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories