Watoto 6 wafariki kutokana na Malaria huko Baringo

Watoto sita wameaga dunia katika kaunti ya Baringo kutokana na mlipuko wa ugojwa wa Malaria. Wazee wa jamii hiyo sasa wameambulia kufanya maombi ya kiasili kwani hospitali hazipeani huduma za afya kutokana na mgomo wa wauguzi.

Tags:

baringo MALARIA

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories