Watoto wa Ibrahim Akasha watoroshwa
Published on: January 31, 2017 08:28 (EAT)
Imebainikika kuwa wanawe marehemu ibrahim akasha na raia wengine wawili wa kigeni, wanaotuhumiwa kufanya biashara haramu ya kuuza mihadarati wamepelekwa marekani. Haya yanajiri siku moja tu baada ya wakili wao cliff ombeta kuitaka idara ya polisi ishurutishwe kuwaleta mahakamani baada ya kuwakamata jumamosi iliyopita.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment