Watoto wa mitaani waongezeka mno mjini Lodwar, Turkana
Published on: November 04, 2017 08:36 (EAT)
Watoto wa mitaani katika mji wa Lodwar kaunti ya Turkana wameongezeka mno. Licha ya serikali ya kaunti hiyo kutenga mamilioni ya pesa za kuwajengea makao, ujenzi huo umekwama tangu uanzishwe miaka mitatu iliyopita. Je, watoto hawa hutoka wapi na kwa nini idadi yao imeongezeka sana? Mwandishi wetu Emmanuel Cheboit ameandaa makala kuhusu masaibu ya watoto hao na madai ya ufujaji wa fedha za kuwajengea makao.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment