Watu 10 wapoteza maisha kaunti ya Lamu
Published on: June 21, 2017 12:00 (EAT)
Watu 10 wamepoteza maisha yao huku wengine 20 wakiokolewa wangali hai baada ya dau walilokuwa wakisafiria kuzama katika katika Bahari Hindi kaunti ya Lamu.
Abiria hao walikuwa wanasafiri kutoka kisiwa cha Lamu kuelekea kile cha Ndau kabla ya ajali hiyo kutokea.
Miili ya waliofariki ilipelekwa katika chumba cha kuhiofadhia maiti cha hospitali ya King Fahad pale ambapo familia zilifika kuchukua wapendwa wao.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment