Watu 10 wapoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa
Published on: August 29, 2017 08:55 (EAT)
Watu kumi wameaga dunia na wengine zaidi ya thelathini kupata majeraha kutokana na ajali mbaya ya barabarani asubuhi ya leo. Ajali hiyo ilitokea katika eneo la Bunta Banta katika barabara ya Garissa kuja hapa Nairobi. Watoto watano ni miongoni mwa wale walioangamia kwenye ajali hiyo iliyohusisha basi la abiria na lori ambapo magari hayo yaligongana ana kwa ana
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment