Watu 11 Wafariki, 20 Wajeruhiwa Kwenye Ajali

Watu kumi na moja wamefariki na wengine 21 kujeruhiwa kwenye ajali mbili tofauti za barabarani Jumamosi asubuhi. Kwenye kisa cha kwanza watu watano wa familia moja na dereva wao walifariki baada ya matatu walilokuwa wakiabiria kuhusika kwenye ajali pale matatu hiyo ilipogongana na lori eneo la Kikopey. Watu wengine watano walifariki kwenye ajali iliyohusisha lori tatu katika eneo la salama. Martin Munene anatueleza kwa kina.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories