Watu 11 wajeruhiwa kwenye rabsha za kisiasa Mandera
Published on: July 22, 2017 09:15 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto leo wameelekeza nyavu zao za kuvua kura katika kaunti za Wajir na Mandera, huku suitafahamu ikishuhudiwa kati ya wafuasi wa wagombea nyadhifa za ugavana. Kenyatta na Ruto wakilazimika kuwakumbatia wagombea hao pinzani, na kujiepusha kuwampigia debe wapeperushaji bendera wa Jubilee, kuzuia uhasama kati ya wafuasi wao.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment