Watu 12 wafariki kutokana na Kipindupindu

Idadi ya watu wanaougua maradhi ya kipundupindu kwa jumla humu nchini ni zaidi ya elfu moja huku wale ambao wamefariki wakiwa ni kumi na wawili. Haya yamesemwa na shirika la msalaba mwekundu huku harakati za kupambana na maradhi hayo zikiendelea.

Tags:

cholera Red Cross . Abbas Gullet kipindupindu

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories