Watu 14 waangamia kwenye ajali Meru
Published on: February 11, 2017 08:43 (EAT)
Watu kumi na nne wameripotiwa kufariki kwenye ajali mbaya ya barabarani eneo la Kiengu katika barabara ya Maua na Garbatulla. Ajali hiyo iliyotokea jana jioni inadaiwa kusababishwa na lori lilipokosa mwelekeo na kugonga magari matano ya kibinafsi
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment