Watu 14 wakamatwa kwa kuhusishwa na ukeketaji
Published on: December 05, 2017 07:58 (EAT)
Wanawake sita wenye umri wa kati ya 18-24 wametiwa mbaroni Kwa makosa ya ukeketaji wa wasichana katika kaunti ya Nakuru. Baadhi ya waliokamatwa pia ni waathiriwa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment