Watu 15 wauawa mpakani Meru-Isiolo
Published on: July 11, 2017 08:51 (EAT)
Watu kumi wamefariki katika siku mbili zilizopita baada ghasia kuibuka miongoni mwa jamii mbili zinazopakana baina ya kaunti ya Meru na Isiolo. Ikiarifiwa kuwa watu 3000 tayari wamelazimika kuwa wakimbizi ili kutoweka mvutano huo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment