Watu 18 wafariki kwenye ajali eneo la Moinoni, Baringo
Published on: December 09, 2017 08:35 (EAT)
Watu 18 wamethibitishwa kufariki kufuatia ajali mbaya ya barabarani katika barabara ya Marigat kuelekea Loruk kaunti ya Baringo. Waathiriwa walikuwa wakisafirisha bidhaa zao kutoka eneo la marigat kuelekea kapedo wakitumia lori ya maafisa wa polisi wa utawala.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment