Watu 19 wafariki kwenye ajali Soysambu, Nakuru
Published on: May 13, 2017 08:54 (EAT)
Mmiliki wa basi lililosababisha vifo vya watu ishirini katika eneo la Soysambu kaunti ya Nakuru amekamatwa. Hayo yanajiri huku dereva wa basi hilo akiwa angali anatafutwa na polisi wakati ambapo Rais Uhuru Kenyatta ameagiza uchunguzi kufanyika kubaini hasa kilichojiri usiku wa kuamkia leo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment