Watu 2 wafariki katika eneo la Sachangwan

Watu Wawili wamefariki katika eneo la Kibunja karibu na Sachangwan katika barabara ya Nakuru kwenda Eldoret. Ajali hiyo imetokea siku moja tu baada ya watu 38 kufariki katika barabara hiyo hiyo, huku familia zikiendelea kufika katika hospitali kuu ya Nakuru kutambua miili ya wapendwa wao.

Tags:

sachangwan

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories