Watu 2 wafariki kilabuni Dream City, Kondele
Published on: December 20, 2017 08:10 (EAT)
Watu wawili wameaga dunia na wengine wengi kujeruhiwa baada ya moto kuteketeza mkahawa mmoja mjini Kisumu. Kufikia sasa haijulikani moto huo ulianza vipi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment