Watu 2 wauliwa Kisumu kwenye ghasia Kanyakwar
Published on: January 21, 2017 08:19 (EAT)
Wakazi wa kijiji cha Nyakwar kaunti ya Kisumu, wanaomboleza vifo vya watu wawili waliochomwa hadi kufa kufuatia mzozo wa na katika kaunti ya Mombasa, watu watatu wamejeruhiwa katika kisa kama hicho cha mzozo wa ardhi katika eneo la Nguu tatu Kisauni.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment