Watu 2 wauliwa Kisumu kwenye ghasia Kanyakwar
Published on: January 21, 2017 08:19 (EAT)
Wakazi wa kijiji cha Nyakwar kaunti ya Kisumu, wanaomboleza vifo vya watu wawili waliochomwa hadi kufa kufuatia mzozo wa na katika kaunti ya Mombasa, watu watatu wamejeruhiwa katika kisa kama hicho cha mzozo wa ardhi katika eneo la Nguu tatu Kisauni.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment