Watu 4 wafariki kwenye ajali barabarani Kisii

Watu wanne wamefariki hii leo kwenye ajali ya barabarani katika barabara kuu ya Kisii kuelekea Nyamira. Ajali hiyo iliyoshuhudiwa majira ya saa kumi na mbili asubuhi ilihusisha matatu aina ya Probox na gari dogo la kibinafsi.

Tags:

Kisii Nyamira ajali ya barabarani

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories