Watu 4 wafariki kwenye ajali barabarani Kisii
Published on: March 04, 2017 08:29 (EAT)
Watu wanne wamefariki hii leo kwenye ajali ya barabarani katika barabara kuu ya Kisii kuelekea Nyamira. Ajali hiyo iliyoshuhudiwa majira ya saa kumi na mbili asubuhi ilihusisha matatu aina ya Probox na gari dogo la kibinafsi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment