Watu 5 wafariki baada ya kuporomokewa na jumba Kisii
Published on: October 11, 2017 07:59 (EAT)
Watu watano miongoni mwao mtoto mwenye umri wa miaka miwili wamethibitishwa kuaga dunia baada ya jumba moja kuporomoka katika mtaa wa Mwembe mjini Kisii. Na kama anavyoripoti mwanahabari wetu Makori Ongechi, kuna hofu ya idadi ya walioangamia kuongezeka kwani wengi bado wamefunikwa chini ya vifusi vya jengo hilo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment