Watu 5 wafariki baada ya pikipiki kugongana ana kwa ana na gari ndogo
Published on: January 12, 2018 08:33 (EAT)
Watu watano walipoteza maisha yao baada ya pikipiki waliyokuwa wakisafiria kugongana ana kwa ana na gari ndogo katika eneo la Sigalagala kaunti ya Kakamega.
Haya hanajiri huku magari 17 ya usafiri wa umma yalikamatwa na abiria wao kulazimika kukesha katika baridi kali usiku wa kuamkia leo baada ya magari hayo kupatikana yakivunja makataa ya safiri usiku.
Hii inafuatia oparesheni kali ya kuwanasa wanaovunja makataa hayo katika barabara kuu ya Nairobi kuelekea Nakuru
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment