Watu 6 wa familia moja wachomeka hadi kufa Kiminini
Published on: August 29, 2017 08:47 (EAT)
Biwi la simanzi limetanda katika kijiji cha Toll Station eneo bunge la Kiminini baada ya familia ya watu sita kuangamia kwenye moto ulioteketeza nyumba yao. Na kama anavyotuarifu Collins Shitiabayi, inadaiwa kuwa mwanaume mwenye boma alikusudia kuiangamiza familia yake akiwemo mkewe na watoto wao watano ila mmoja akaponea chupuchupu na kuondoka na majeraha mabaya.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment