Watu 6 wafariki baada ya kula nyama ya ngamia
Published on: October 26, 2016 09:59 (EAT)
Watu sita wamefariki baada ya kula ya mzoga wa ngamia katika eneo la Tirioko huko Tiaty kaunti ya Baringo. Inadhaniwa kuwa ngamia huyo alikuwa na ugonjwa mbaya uliomuua.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment