Watu 6 wahofiwa kuuawa na Al Shabaab huko Lamu
Published on: September 07, 2017 08:24 (EAT)
Hali ya taharuki yazidi kutanda katika eneo la Hindi kaunti ya Lamu. Hii ni baada ya shambulizi jingine kutokea na hofu ya takribani watu wanne kupoteza maisha yao.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment