Watu kadhaa wameuliwa katika maeneo kadhaa
Published on: October 28, 2017 09:12 (EAT)
Takriban watu tisa wameripotiwa kufariki baada ya kushuhudiwa machafuko ya baada ya marudio ya uchaguzi wa urais katika kaunti za homabay, kisumu, migori na bungoma huku wengine wakilaza wakijeruhiwa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment