Watu mashuhuri wanaohusishwa na mihadarati watiwa mbaroni Tanzania
Published on: February 10, 2017 08:25 (EAT)
Na huko nchini Tanzania vita dhidi ya mihadarati vimechukua mkondo mpya baada ya washukiwa wakuu kutiwa mbaroni. Miongoni mwa watu waliotajwa kwenye sakata hiyo ni pamoja na mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanzania CHADEMA Freeman Mbowe. Mwanahabari wetu Samuel Mwalongo anaarifu zaidi kutoka Tanzania.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment