Watu sita wafariki kwenye ajali wakitoka mahafali Ruai

Watu sita waliangamia kwenye ajali barabarani walipokuwa wakitoka kwenye hafla ya mahafali. Kwingineko mamlaka ya uchukuzi na usalama barabarani imewanasa madereva walevi saa chache tu baada ya mahakama ya rufaa kutoa uamuzi kuwa kifaa cha kupima viwango vya ulevi si halali.

Tags:

Ruai ajali barabarani mahafali

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories