Watu watatu wafariki Bomet
Published on: December 02, 2016 09:08 (EAT)
Watu watatu wamepoteza maisha katika ajali ya barabarani eneo la Kamureito, kaunti ya Bomet asubuhi ya leo walipokua wakielekea katika sherehe ya mahafala ya chuo kikuu cha masaai mara mjini narok. wakati huo huo chuo kikuu Cha Nairobi kimeandaa sherehe kama hiyo hapa jijini Nairobi ambapo wahitimu 8 500 walitunukiwa vyeti na shahada mbalimbali. mwanahabari wetu Fathma weso na taarifa hizo kwa kina.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment