Watu wawili wafariki Kisii na Elgeyo Marakwet kutokana na mafuriko

Watu arobaini na wanne waliepuka kifo usiku wa jana, baada ya basi walimokuwa wakisafiria kutumbukia ndani ya mto kalimorok kaunti ya Turkana. Hata hivyo watu wawili wameaga dunia katika kaunti za Kisii na Elgeyo Marakwet baada ya kusombwa na mafuriko

Tags:

Kainuk bridge kisii floods mafuriko

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories